Hii imekuja kufuatia makampuni mbalimbali kusitisha nae mikataba ya kikazi kwa kinachoelezwa kutamka maneno yenye chuki dhidi ya wayahudi
Lakini hata kabla rapa huyo kwa muda sasa mdomo mwake unadaiwa kukosa breki kwa kuongea chochote kinachokatiza machoni pake na hivyo kutibuana pia na aliyekuwa mkewe(Kim Kadarshian) na familia yake
Pia baadhi ya marafiki wa Kanye wanadai kwasasa hayupo sawa anahitaji msaada wa wataalam huku wengine wakidai hashauriki japo mwenyewe anajichukulia pia hana tatizo
Post a Comment