Mambo vipi karibu tuangazie ORODHA ya WASANII kumi WANAOFANYA VIZURI ZAIDI kwa sasa
DIAMOND PLATINUM
Ndo msanii 🌟 ambae amefanya vizuri zaidi na Kaz zake zote anazoziachia zinapendwa sana na watu na kufika mbali sana
Pia ndo boss wa label ya wasafi
HARMONIZE/konde boy
Ni msanii 🌟 anaepambana sana na amekuwa akiwasaidia vijana wenzake pia na yeye Ni mmiliki wa label ya konde gang
Nyimbo zake zote anazoztoa zinahit na kufanya vizuri Africa mashabiki na Africa kwa ujumla
3.ALI KIBA
King kiba Ni miongoni mwa artist s wanaozid kufanya vizuri kwenye tasnia hii ya muzk na nyimbo zake pia zikiendelea kufanya vizuri
4.RAYVANNY
Ni msanii ambae yupo chini ya menejiment ya WCB
Ambae pia Yuko vizuri kwenye kazi zake zina mvuto na ujumbe unaozifanya zipendwe sana
5.MBOSSO
Mbosso Ni miongoni mwa wasanii wanaozid kufanya vizuri amekuwa akiachia nyimbo kwa wingi na zina pendwa na kuhit
6.NANDY
The African princess nandy amekuwa akiachia Kaz zake na zinatrend sana
7.ZUCHU
Zuchu pia Ni mdada alietokea kupendwa sana na kukubarika kwa kipaji chake Cha muzk
8.IBRAH
Kijana anaekua kwa Kasi zaidi kwenye industry ya muzk nyimbo zake zinahit na kumpaisha zaidi
9.MARIOO
10JUX
Hao ndo nyota wanaozid kufanya vizuri kwenye muzk wa TANZANIA
Post a Comment