Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Karim Benzema ataikosa michuano ya kombe la dunia baada ya kupata majeraha kwenye paja akiwa mazoezini
Vipimo vinaonyesha Benzema ana jeraha kwenye paja na atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki tatu
Get well soon!
Post a Comment