Karibu na ASANTE Kwa kutembelea Mon Jr media blog
Moja kwa moja nkuelekeze namna ya kutumia njia hii inayoaminika KUJIPATIA KIPATO MTANDAONI hata ukiwa umelala
Zimekuwepo njia nyingi zikitajwa za kutengeneza pesa lakini mwilishowe zimeonekana kama utapeli kulingana na watu wengi kushindwa kutoa pesa zao au kupata malipo
Nmekuletea njia hii inayoaminika sana ambayo ukiweka jitihada unaweza kufika mbali
Hii Inatumika kwa mtu yeyote yule
KWANZA KABISA UNATAKIWA UWE NA VITU VIFUATAVYO
∆ Uwe mtumiaji wa mitandao ya kijamii
mitandao hii ni kama
N.k
🕳️Pia kwa wale wenye Website mbalimbali
KUJISAJIRI
moja kwa moja utaenda kujisajiri kwa kugusa link hii
👇👇👇
https://publishers.adsterra.com/referral/iszqN7Zsd7
Baada ya hapo utaletewa sehemu ya kujaza
Utaweka
🕳️Jina
🕳️ Password
Utachagua unataka utumie njia gani kama ni
👉 Kusambaza link
👉Kiafrika
👉Kuweka kwenye Website wenye nazo
Baada ya hapo utaletewa dashboard yako ikiwa hivi
👇
Utaangalia upande wa kushoto utachagua njia yeyote ya kutumia
🤑🤑N.B kama una Website
Utapewa code za kuweka kwenye Website YAKO
UNAPATA PESA💰 KWA NJIA ZIPI
Kuna njia nne za kupata pesa kupitia platform hii
1.PER CRICK
hii ni njia ya Kusambaza link kwa watu wako popote pale sana sana mitandao ya kijamii hapa Walau jitahidi uwe na magroup ya Facebook na WhatsApp
Ambapo utaweza kufikia watu wengi
Kwa kusambaza hiyo link utalipwa kwa idadi ya👉Clicks (mibofyo)
ambapo wakibofya wengi malipo yanaongezeka
2.KUARIKA MARAFIKI KUPITIA LINK
hapa utapewa link kwenye dashboards yako
Utawaarika marafiki na utapewa malipo
3.KUWEKA CODE ZA HTML
hii ni kwa wenye Website na blog
Ambapo utamonetize blog yako
Baada ya muda utapewa code za kuweka
Kwenye
Head
< >/
Baada ya hapo utakuwa umeweza kutumia njia hii kupata pesa
MAKALA IJAYO NTAKUELEKEZA JINSI YA KUTOA HIYO PESA 💰 AMBAYO USHAITENGENEZA.... endelea kufuatilia
🙏🙏 Asante
Kwa kusoma
Kwa
Kwa ushauri weka maoni yako
👇👇👇👇👇👇
Post a Comment