COLLABO NA HARMONIZE TSH. 1000

 


Boss wa Kondegang Music Worldwide @harmonize_tz ametangaza kuchaji Tsh Milioni 100 kwa wasanii watakaotaka kufanya naye Collabo huku sharti lake ngoma iwe kali tu. 


"Naanza kuchaji Tsh Milioni 100 kwa collaboration sharti ngima iwe kali. I cant wait kumchaji mtu fulani Milioni 500" ameandika Harmonize 


Post a Comment

Previous Post Next Post