HomeMichezo 🚨 KILA STAA KULIPA ELFU 10 KWA MWEZI Monjrmediatz November 15, 2022 0 Mkutano wa TFF umeazimia kuanzia Januari mwakani mchezaji wa Ligi Kuu hatoruhusiwa kucheza bila kusajiliwa na kulipa ada katika Chama cha Wachezaji SPUTANZAKila mchezaji anatakiwa kulipa Sh 120000 kwa mwaka ambapo kila mwezi ni Sh 10,000. You Might Like View all
Post a Comment