“Siku za nyuma mnamo 1963 nilipocheza timu moja na Legend CHARLES BONIFACE MKWASA 💛💚” ameandika Morrison
Morrison amepokea muitikio tofauti kwa wadau akiwemo Rais wa Yanga Injinia Hersi Said aliyejibu “back in days 😂😂"
Morrison akamjibu “Nina uhakika unakumbuka mechi ile ya Julai 27 1964? Au ulikuwa bado hujazaliwa?”
Ni kweli Morrison alicheza timu moja na kocha wa sasa wa Ruvu Shooting, Charles Boniface Mkwasa?
Subscrbe chanel yetu ya YouTube Ili usipitwe na Habari zote
Gusa hapa
👇
https://www.youtube.com/@monjrmedia
Post a Comment