Hata hivyo pamoja na kwamba kwenye mahojiano hayo Msemaji wa Polisi amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kukataa kusema chanzo cha kifo kwa sasa, mitandao mingi ya Nigeria imeripoti kwamba amefariki baada ya kuzama kwenye bwawa hilo la kuogelea, naendelea kufuatilia zaidi ili kukuletea habari za kuaminika.
Post a Comment