Mtoto wa Cristiano Ronaldo , "Cristianinho" yani Cristiano mdogo kama ambavyo amezoeleka kuitwa anaripotiwa kutaka kurejea Real Madrid baada ya Baba yake kuondoka Manchester United.
Takwimu zake msimu huu ni.
Michezo 23
mabao 58
Assist 18
Licha ya kuwa na miaka 12 amekuwa akicheza timu za vijana U-14.
Post a Comment