Akizungumza katika uzinduzi wa mnara wa mawasiliano ya simu katika kijiji cha Kinenulo mkoani Njombe uliojengwa kupitia ruzuku inayotolewa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote ( UCSAF ), waziri amebainisha kuwa malengo ya Serikali ni kuhakikisha kila Mtanzania anaunganishwa na huduma ya mawasiliano.
Aidha, amesema tayari wameanza mchakato kwa kufanya mazungumzo na kampuni mbalimbali za simu kwa ajili ya kufanikisha mpango huo.
Post a Comment