Star wa Muziki wa Bongo Fleva ommydimpoz ameelezea kuibiwa Dola za Kimarekani Elfu 30 ambazo ni sawa na pesa za Kitanzania Milioni 30 kupitia ukurasa wake wa Instagram
OmmyDimpoz ametoa habari hii ikiwa bado yupo kwenye maombolezo ya kufiwa na aliyekua Mpenzi wake na kuelezea jinsi ambavyo hata hajapoa na msiba tayari ameibiwa kiasi hiko kikubwa cha fedha
ommydimpoz ameandika kupitia Insta Story akielezea kuwa ameamua kumshtakia Allah na wala hajaelezea zaidi kiasi hiko kikubwa cha pesa kimepotea kwa mazingira ya aina gani
Post a Comment